Msaada namna ya kupata internet kupitia decoder!

msokoto

Member
Joined
Jul 23, 2017
Posts
17
Reaction score
3
Naomba kusaidiwa mwenye kujua namna ya kupata internet kupitia decoder (king'amuzi) chochote kile iwe dstv/azam anisaidie maana nipo maeneo remote sana hata mtandao wa 2g ni shida yaan ni sms, kupiga na kupokea simu tu! Naona decoder ya DSTV HD Kuna port ya ethernet lakin ipo dormant!
Nawasilisha mwenye kujua!
 
Decoder huwa zinapokea internet na siyo kutoa internet!!
 
Haiwezekani, dish/decoder za TV hazijatengenezwa kurusha data zinapokea tu. Ile port ni ya kupokea mtandao.
 
Huku nipo remote saaana! Yaani ndo airtel wameweka mnara unaserve huduma za sms, kupiga na kupokea simu hakuna internet ya maana!
 
Smart huku hatuijui halotel na voda mpaka upande juu ya mti tigo ni zero kabisa!
 
Smart huku hatuijui halotel na voda mpaka upande juu ya mti tigo ni zero kabisa!
smart ipo maeneo mengi sema watu hawana kifaa cha quad band cha kutestia.

tafuta simu nzuri yenye quadband kisha searxh network ikiwa 3g only ili uone kama kuna mtandao una 3g hapo ulipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…