Msaada: Namna ya kujisajili kama private candidate

Msaada: Namna ya kujisajili kama private candidate

Mtafiti Pro

Member
Joined
May 5, 2018
Posts
20
Reaction score
7
Habari wakuu,poleni na majukumu.
Naomba mwenye uelewa mzuri juu ya namna ya kujisajili ili kuwa mtahiniwa binafsi wa mtihani wa kidato cha 6.Nimehitimu kidato cha 4 mwaka 2010.

Pili,napendelea kuchukua tahasusi ya EGM kutokana na malengo niliyojiwekea.Alama zangu za kidato cha 4 ni:
B/Keeping A
B/Math B
History C
mengineyo 6 ni D.

Niko DAR je ni mahali gani wanapatikana walimu wazuri wa ECONOMICS,GEOGRAPHY NA MATHS?

Natanguliza shukran
 
Egm physical geography nina phamplet la msabila linalo tumika kwenye syllabus ukiitaji waweza nicheki pia nayo mengine mm kama human geography mkuu ni inbox kama ukiitaji
 
Habari wakuu,poleni na majukumu.
Naomba mwenye uelewa mzuri juu ya namna ya kujisajili ili kuwa mtahiniwa binafsi wa mtihani wa kidato cha 6.Nimehitimu kidato cha 4 mwaka 2010.

Pili,napendelea kuchukua tahasusi ya EGM kutokana na malengo niliyojiwekea.Alama zangu za kidato cha 4 ni:
B/Keeping A
B/Math B
History C
mengineyo 6 ni D.

Niko DAR je ni mahali gani wanapatikana walimu wazuri wa ECONOMICS,GEOGRAPHY NA MATHS?

Natanguliza shukran
Dirisha la usajili bado halijafunguliwa mpaka mwezi wa 7 hivi. Ndo wanafungua kwa usajili cha msing wewe utafute sehemu nzuri utakayo fika tuu na kusoma achana na mengine.
 
Mimi pia nina mpango wa kufanya egm 2019 nipo dar nicheki tufanye kitu (0716457094)
 
Back
Top Bottom