Msaada: Namna ya kuhairisha masomo Chuo kikuu

Msaada: Namna ya kuhairisha masomo Chuo kikuu

habari wakuu.naombeni msaada namna ya kujitoa ktk syatem ya chuo. maana hadi sas sijafanikiwa kurudi chuo tangu nahairisha masomo mwakwa 2017/18 ambapo nilisoma semistr 1 pekee .nataka nijitoe ili nikiwa tayari niwe free kuapply chuo chchte.Ni hayo t, msaada nifanyeje
MKUU VPI ULIFANIKIWA?
 
Back
Top Bottom