Andika barua kwenda chuo ulichochaguliwa ikieleza na sababu zilizokufanya kuhairishaWakuu Habari za Muda huu, Naomba kufahamu hatua za kufuata ku postpone masomo ili nisome mwakani...
Ni hayo tu
Mtumie mtu alioko chuoni afatilie na majibu mambo ya email za kibongo sio kabisa.Mkuu, Naituma kwa njia gani?
kama sijakosea ni lazma usome si chini ya mwaka mmoja ndio u-postpone na utaendelea pale ulipoishia, ila kama umechaguliwa na umeshindwa kwenda kuripoti mwaka huu piga simu chuoni kuwa huna uwezo wa kuripoti ili mwakani uombe upya(hata usipotoa taarifa watakufuta tu kwenye system kama hutaripoti ndani ya mwezi mmoja)Wakuu Habari za Muda huu, Naomba kufahamu hatua za kufuata ku postpone masomo ili nisome mwakani...
Ni hayo tu
Uongokama sijakosea ni lazma usome si chini ya mwaka mmoja ndio u-postpone na utaendelea pale ulipoishia, ila kama umechaguliwa na umeshindwa kwenda kuripoti mwaka huu piga simu chuoni kuwa huna uwezo wa kuripoti ili mwakani uombe upya(hata usipotoa taarifa watakufuta tu kwenye system kama hutaripoti ndani ya mwezi mmoja)
uongo wangu uko wapi? hebu jibu kwa hoja ili jamaa apate jibu sahihi basi.Uongo
iyo ya kusema sijui lazma awe amesoma mwaka mmoja siokweli.uongo wangu uko wapi? hebu jibu kwa hoja ili jamaa apate jibu sahihi basi.
Sidhani,japo ukilipa ukirudi kuanza hutolipa tena.Samahan ili uhairishe mwaka baada ya kusajiliwa inabidi ulipe direct cost pamoja na nusu ya ada ndo uweze kusajiliwa na kuandika barua au?
Kuna utaratibu unaufataa.ukirudi mwakani unaendelea kua mnufaikaNa kama umepata mkopo na unahitaji kuahirisha mwaka ndo mkopo umeenda na itabidi uombe tena mwakani au kuna utaratibu mwingine?
hujakosea na ndo maana halisi ya kufanya usajiliSamahan ili uhairishe mwaka baada ya kusajiliwa inabidi ulipe direct cost pamoja na nusu ya ada ndo uweze kusajiliwa na kuandika barua au?
Huwezi kusajiliwa kama hujalipa ada na direct costSidhani,japo ukilipa ukirudi kuanza hutolipa tena.
kuna jamaa yangu mwaka juzi alikosa mkopo akazichanga akajisajili chuo akasoma semister moja tu pesa zikakata nikamshauri aende chuoni kwao aulize utaratibu wa kuhairisha masomo ili mwaka unaofuata andelee na semister ya pili ila wakamkatalia wakamwambia mpaka amalize mwaka wote ili akirudi aanze 2nd year, ikabidi aandike barua ya kuacha chuo kwenda chuo na tcu na mwaka jana kaomba kama 1st year na kapata chuo kingine pamoja na mkopo anaendelea fresh.iyo ya kusema sijui lazma awe amesoma mwaka mmoja siokweli.
la msingi ni kufanya usajili ata kama ni siku moja unaandika barua ya kuhairisha.
kama hujisajili hakuna haiwezekani kuhairisha, potezea tu wao watakufuta kwny system na mwakani utaaply upya
Kachukue barua ya chuo ulicho dahiliwa ya kuacha chuo then peleka tcu wao ndo wanakufuta kwenye system hata mm nilifanya hvyo mwaka janaWakuu Habari za Muda huu, Naomba kufahamu hatua za kufuata ku postpone masomo ili nisome mwakani...
Ni hayo tu
Habari yako brotherKachukue barua ya chuo ulicho dahiliwa ya kuacha chuo then peleka tcu wao ndo wanakufuta kwenye system hata mm nilifanya hvyo mwaka jana
Sent using Jamii Forums mobile app