Baby Doll
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 4,716
- 21,521
Habari zenu.
Naombeni msaada jinsi ya kufuta vitu moja kwa moja kwenye simu , yaani nikifuta nimefuta hata mtu akifanyaje visirudi.
Maana huwa nafuta halafu mtu baadae anavisearch vyote vinarudi. Ikiwa ni pamoja na picha na video
Natanguliza shukrani.
Naombeni msaada jinsi ya kufuta vitu moja kwa moja kwenye simu , yaani nikifuta nimefuta hata mtu akifanyaje visirudi.
Maana huwa nafuta halafu mtu baadae anavisearch vyote vinarudi. Ikiwa ni pamoja na picha na video
Natanguliza shukrani.