Sung
Member
- Mar 2, 2019
- 40
- 20
Heshima kwenu wakuu.
Naomba kufahamishwa hili maana sijui inakuwa kuwaje.
Hivi ajira zikitangazwa serikalini, njia nyepesi kuApply ni ipi?
Nilipitia site ya portal.ajira.go.tz, nikaona kuna sehemu ya kujaza taarifa (CV) kisha zinaweza tumika kwa kuombea kazi, sasa je hii ndio site inayotumika au kuna njia nyingine?
Mfano, leo serikali ikatangaza ajira labda kwa wahudumu wa afya, steps za kufuata ni zipi?
Juzi kati, kulikuwa na nafasi za walimu, nikasikia malalamiko mengi kuwa mfumo/mtandao unasumbua, ni mfumo gani huo. Ni kwa walimu tu au kwa profession zote?
Natanguliza shukrani.
Wenu Junior,
Sung
Naomba kufahamishwa hili maana sijui inakuwa kuwaje.
Hivi ajira zikitangazwa serikalini, njia nyepesi kuApply ni ipi?
Nilipitia site ya portal.ajira.go.tz, nikaona kuna sehemu ya kujaza taarifa (CV) kisha zinaweza tumika kwa kuombea kazi, sasa je hii ndio site inayotumika au kuna njia nyingine?
Mfano, leo serikali ikatangaza ajira labda kwa wahudumu wa afya, steps za kufuata ni zipi?
Juzi kati, kulikuwa na nafasi za walimu, nikasikia malalamiko mengi kuwa mfumo/mtandao unasumbua, ni mfumo gani huo. Ni kwa walimu tu au kwa profession zote?
Natanguliza shukrani.
Wenu Junior,
Sung