Msaada: Namna ya kuandikia barua TRA

Mavindozii

JF-Expert Member
Oct 20, 2012
2,111
2,781
Wakuu wa nchi how's going today,

Nilikuwa TRA leo kukadiriwa kulipa kodi, wakanikadiria mara nne ya hela niliyolipa mwaka jana. Sasa biashara yangu ni ndogo sana na iko nje ya Manispaa, nikawaambia sitaweza, wakasema andika barua, sasa hiyo barua nitaiandikaje wakuu zangu. Kama kuna mtu alishawaandika barua inayohusu tatizo kama langu please naombeni msaada wenu kama hamtojali wakuu wangu wa nchi.

Mnaweza kunitumia sms via private sms please.

God bless you Guys, and have a great night .
 
Leo nimekutana na tatizo hilo. Andika barua kwa meneja wa mkoa.eleza ambatanishA kadirio la sasa na la zamani
 
Pia ueleze kwamba buashara yako kwa nini haikui!!!



Hayo hayo maelezo uliyoyatoa kwa ofisa yawwke kwa maandishi yaani barua yako ielezee kama ulivyomuelezea ofisa utaje na sababu ya kutofikia matarajio na kadirio lako la awali na la sasa kwenda kwa meneja wa mkoa wa kikodi ulipofungulia faili lako.ikiwezekana uwe na kopi mbili moja wakupigie muhuri kuwa wamepokea ubaki nayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom