Msaada: Namna ya ku-update Yo WhatsApp

evonik

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
3,996
Reaction score
5,181
Wakuu,
Husika na kichwa tajwa hapo juu
Nimekuwa ''nikiinjoi'' hii wasap isiyo halali kwa muda kidogo, lakini tatizo hunishinda kwenye kui-upadate yaani nikijaribu nashindwa kabisa Mara matangazo mengi mwishoni hunipoteza kabisa.

Nimekuwa nikiifuta na kuipakua upya kama mbadala wa kui-upadate lakini napoteza vitu Vingi kwa njia hiyo, hivyo naomben msaada kwenu.

Nawasilisha evonik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…