Msaada: Nahitaji msambazaji wa ream papers

Msaada: Nahitaji msambazaji wa ream papers

sijaelewa

Senior Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
101
Reaction score
57
Habari wana JF biashara, naomba mwenye uelewa anisaidie nitawezaje kupata general supplier wa ream papers (karatasi za kuprintia A4) mondi (mfano tu) na nyingine yeyote, ili niweze kununua na kuuza kwa jumla kama wholeseller (35,000 to 36,000).

Pia anijuze nitapata kwa shilingi ngapi? Minimum order ni box ngapi, mawasiliano yao pia nitashukuru. Kama hapa haiwezekana naweza nikakutumia email yangu. Ahsanteni sana
 
Habari wana JF biashara, naomba mwenye uelewa anisaidie nitawezaje kupata general supplier wa ream papers (karatasi za kuprintia A4) mondi (mfano tu) na nyingine yeyote, ili niweze kununua na kuuza kwa jumla kama wholeseller (35,000 to 36,000).

Pia anijuze nitapata kwa shilingi ngapi? Minimum order ni box ngapi, mawasiliano yao pia nitashukuru. Kama hapa haiwezekana naweza nikakutumia email yangu. Ahsanteni sana
Wa PM hawa hapa Hellen Stationeries au wapigie simu wako humu
 
Nashukuru sana, vipi kuhusu malipo wamenitaka kutumia western union payment, nitathibitisha vpi kwamba ninafanya malipo mahala sahihi.
Mkuu angalia sana malipo ya western union unaweza kulizwa. Kabla hujanunua angalia huyo muuzaji ana muda gani hapo Alibaba (membership yake). Na feedback yake ipo gapi? Kama 100% mpaka kushuka 92% na membership yake inafika miaka 3. Basi huyo poa unaweza kununua kwake, lakini narejea usikubali western union muulize kama unaweza kulipa kwa PayPal kama unayo account yake. Au unaweza kufungua account ya mauzo/manunuzi ya Alibaba.

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
 
Mkuu angalia sana malipo ya western union unaweza kulizwa. Kabla hujanunua angalia huyo muuzaji ana muda gani hapo Alibaba (membership yake). Na feedback yake ipo gapi? Kama 100% mpaka kushuka 92% na membership yake inafika miaka 3. Basi huyo poa unaweza kununua kwake, lakini narejea usikubali western union muulize kama unaweza kulipa kwa PayPal kama unayo account yake. Au unaweza kufungua account ya mauzo/manunuzi ya Alibaba.

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app

Amenitumia usajili wao, wamesajiliwa 2016, paypal nina acount tayari, ila naona hii ya mauzo/manunuzi ya alibaba itanifaa zaidi kwa kuwa ni wao wenyewe. Ngoja niwaulize kusuhu paypal. Ahsante.
 
Amenitumia usajili wao, wamesajiliwa 2016, paypal nina acount tayari, ila naona hii ya mauzo/manunuzi ya alibaba itanifaa zaidi kwa kuwa ni wao wenyewe. Ngoja niwaulize kusuhu paypal. Ahsante.
Feedback yake ipo vipi? Bora utumie PayPal kwasababu rahisi kurejeshewa hela yako. Kama jamaa atakuibia lakini nadhani hata account ya Alibaba pia wanaweza ku protect your account. Jaribu kununua sample ili uone kama ndio bidhaa unayoitaka, kwasababu unaweza kununua kwa hela yako yote. Halafu unakuta sio quality unayoitaka

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
 
Feedback yake ipo vipi? Bora utumie PayPal kwasababu rahisi kurejeshewa hela yako. Kama jamaa atakuibia lakini nadhani hata account ya Alibaba pia wanaweza ku protect your account. Jaribu kununua sample ili uone kama ndio bidhaa unayoitaka, kwasababu unaweza kununua kwa hela yako yote. Halafu unakuta sio quality unayoitaka

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app

Nimechunguza zaidi nineona alibaba wana kitu kinaitwa trade centre, nimetulia kidogo ili nijiridhishe kwanza na payment methods,wale wa kwanza nimeachana nao, niangalia wengine.
 
Hellow....ulifanikiwa kupata supplier wa reams....nami nahitaji mmoja...pls
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom