Msaada: Nahitaji kukopeshwa fedha na mtu binafsi

Msaada: Nahitaji kukopeshwa fedha na mtu binafsi

daddys dota

Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
66
Reaction score
4
Habari ndugu wadau,

Mimi ni mjasiriamali,ninahitaji kukopeshwa fedha na mtu binafsi,na nitarudisha hiyo fedha kwa riba.
 
Una asset gani ambayo unaweza kuweka dhamana?
Je unahitaji tsh ngapi?
Utakopa hiyo hela kwa muda gani?

Jibu hayo maswali mkuu.
 
Nina fremu yangu ya biashara.ambayo imeshaanza kufanya kazi.nahtaj kama 1mil
 
Nitakuwa tayar kila mwisho wa mwez kurudsha kiwango ntakachopangiwa mpak ntakapomaliza deni
 
Back
Top Bottom