Msaada: Nahitaji bidhaa hii

Msaada: Nahitaji bidhaa hii

Pionaire

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
1,595
Reaction score
1,135
images1..jpg
images.jpg
downloadp.jpg
tory-burch-price-reduced-1017-pewter-gray-quilted-billy-mslippers-flats-size-us-11-regular-m-b...jpg

rBVaWFzPFEqAHsy_AADDqhuioVA546.jpg

download.i.jpg
download,o.jpg
images.s.jpg
downloadt.jpg
images.w.jpg
imagesm.jpg
imagesa.jpg
imagesr.jpg
imagesr.jpg
images.kju.jpg
images.mji.jpg


Habari wana JF, nimejaribu kutafiti mitandaoni kuhusiana na upatikanaji wa hiyo bidhaa(hizo boxes) hapo pichani lakini bado sijafanikiwa kwa hapa nchini kwetu.

Nawezaje kupata hizo boxes sample ya zile zinazohifadhi viatu vipya vinapokuwa madukani hata kama zitakuwa plain tu bila chapa/Nembo yoyote au bila rangi pia zitanifaa. Ninavyosema nazihitaji simaanishi eti moja au mawili bali nataka kupata kwa bei ya jumla maana naweza nunua kwa piece 100 - 500 au zaidi kwa siku na bei yake per piece ni Tsh ngap?

Kwa anayejua , HIVYO NAOMBA MWENYE KUFAHAMU MAHALI AMBAPO NAWEZA PATA HIYO BIDHAA HAPA NCHINI ESPECIALLY KWA DAR-ES-SALAAM ANIPE MWONGOZO.

"Ni hayo tu Nawasilisha wanabodi, Nawatakia mapambano salama dhidi ya COVID-19"
 
Very simple!!
Zisanii (unda mwenyewe nyumbani) yaani tafuta kijana (msichana/mvulana wape ajira) mwenye vidole vyepesi kutengeza vifugishio.. halfu kusanya materials hapo unawapa box moja as sampo...
Waige kutengeneza... kubali kuwa box 1..2..3 hazito kuwa biyeen!! Ila box zijazo zita kuwa best!! Hapo nahakikisha utaweza produce line nzuri za mabox!!
Hongera
 
Nenda kwenye maduka yanayouza viatu utapata. Hasa kariakoo

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwema?, nilichogundua kule kwenye maduka hayo ya viatu unayosema HAWAUZI HIZO BOX WANAUZA VIATU AMBAVYO HUTOKA NJ'E YA NCHI...Namimi sitaki box 1 au 2 ambazo ningeweza labda kwenda huko maduka ya viatu nikapata, ila nataka kwa bei ya jumla piece 100 hadi 500 kila siku...Hii Kibiashara zaidi ndugu.
 
Very simple!!
Zisanii (unda mwenyewe nyumbani) yaani tafuta kijana (msichana/mvulana wape ajira) mwenye vidole vyepesi kutengeza vifugishio.. halfu kusanya materials hapo unawapa box moja as sampo...
Waige kutengeneza... kubali kuwa box 1..2..3 hazito kuwa biyeen!! Ila box zijazo zita kuwa best!! Hapo nahakikisha utaweza produce line nzuri za mabox!!
Hongera
Sawa mkuu una wazo zuri...ila hata hayo materials ya kutengeneza nayapata wapi hapa nchini?
 
Nitoeni tongotongo, wandugu ndo kusema kwamba hii TANZANIA YETU YA VIWANDA...hatuna watu au kampuni zinazodili na uzalishaji wa hizi kitu?
 
Very simple!!
Zisanii (unda mwenyewe nyumbani) yaani tafuta kijana (msichana/mvulana wape ajira) mwenye vidole vyepesi kutengeza vifugishio.. halfu kusanya materials hapo unawapa box moja as sampo...
Waige kutengeneza... kubali kuwa box 1..2..3 hazito kuwa biyeen!! Ila box zijazo zita kuwa best!! Hapo nahakikisha utaweza produce line nzuri za mabox!!
Hongera
nimeresearch materials zinazotumika kwa utengenezaji wa hizo boxes ni CORRUGATED CARDBOARD...labda sasa kama unafahamu nitakapoyapata apa nchini ili nwape vijana kazi wazitengeneze kam ulivyonena ndugu.
 
Back
Top Bottom