mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,125
- 1,757
Habari za majukumu wadau,
Nimepata nafasi ya kuvolunteer Akiba Commercial Bank tawi moja wapo hapa mjini wakati nikisubiri mambo yangu mengine kama yanaweza fanikiwa. Je kuna consideration yoyote kama nauli, pesa ya kula, na permanent employment kwa siku za baadae?
Naomba msaada wenu!
Nimepata nafasi ya kuvolunteer Akiba Commercial Bank tawi moja wapo hapa mjini wakati nikisubiri mambo yangu mengine kama yanaweza fanikiwa. Je kuna consideration yoyote kama nauli, pesa ya kula, na permanent employment kwa siku za baadae?
Naomba msaada wenu!