sasa wadau mdona naona kuna deadline mbili kwenye kada ya afya? maana kuna ile orodha ya vyuo vitakavyo chukua wanafunzi wa afya inasema deadline ni 30/03/2016 but kuna sehemu ingine wameorodhesha deadline za course zote na imeoneshwa afya ni 31/05/2016. naomba mwenye update anisaidie wakuu yani nko online nataka kuaply but napata kigugumizi.