Habari zenu, baada ya kujisajili TAESA wamenitumia ujumbe kwenda kwenye interview pamoja na training.
Naomba kujua je, ni maswali gani yanayoulizwa kwenye interview na je, training yao ikoje, na baada ya interview inachukua muda gani kuitwa kwenye internship?
Asanteni.
Naomba kujua je, ni maswali gani yanayoulizwa kwenye interview na je, training yao ikoje, na baada ya interview inachukua muda gani kuitwa kwenye internship?
Asanteni.