Habari zenu wapendwa. Samahani Nina changamoto kwenye kubook training, inaniandikia no data na nilishapata registration namba, na pia kwenye dashboard yangu upande wa taesa training inaniandikia (pending). Sijui kama ni Mimi tu Mwenye hii shida au.. Mwenye kujua shida ni nini atuelekeze tafadhali.