Msaada: Mwenye utaalamu wa kilimo cha mahindi ya popcorn

Msaada: Mwenye utaalamu wa kilimo cha mahindi ya popcorn

Muimba SINGELI

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
4,211
Reaction score
10,850
Habari zenu wana jukwaa poleni na harakati za mchana kutwa.

Nahitaji kujua namna haya mahindi ya kutengeneza bisi yanavyolimwa.

Hali ya hewa ya eneo, udongo ambao unarutubisha na mengine yote ambayo napaswa kiyazingatia kwenye kilimo hiki.

Na je kwa mikoa ya kusini MTWARA yanaweza kufanya vizuri?

Matanguliza shukurani.
 
Umeamua kuichafua ID yako,mwingine angekuja na ID mpya, lakini hongera kwa kuutua mzigo kwamaana maigizo yanachosha. kama nakuona vile ulivyokuwa unaandika na kufuta...ENEWEI hauna baya tajiri.
😂😂😂 Asante mkuu, ni kweli maigizo yanachosha kuna watu hunifata pm kuniomba msaada wa kifedha na hata kazi (wakiwa na matarajio ya juu kwamba nitawasaidia) nasubiri tarehe iniruhusu kubadili ID tu ikifika nairudia ID yangu ya mwanzo ya Kijana masikini.
 
Hahahaha! Bora urudi, usije kuniponza. Nimekutazama kwa mda kidogo mpaka nikashawishika nami nije na new id "new boss in town",lakini kwa mkimbio huu,sitojaribu tena inaonekana kuna mateso sana huko. Tajiri Sina BAYA #HAUNA BAYA TAJIRI
 
Hahahaha! Bora urudi, usije kuniponza. Nimekutazama kwa mda kidogo mpaka nikashawishika nami nije na new id "new boss in town",lakini kwa mkimbio huu,sitojaribu tena inaonekana kuna mateso sana huko. Tajiri Sina BAYA #HAUNA BAYA TAJIRI
😂😂😂
Hakuna mateso kivile, shida ni kujigawa na kukumbuka mipaka, yaani kama mimi kuna nyuzi natamani kuchangia uhalisia wa jambo lakini nakumbuka oooh.. Kumbe mimi ni Tajiri! Basi navunga au nachangia kwa kubambikia kwamba hilo jambo lilimtokea mtu wangu wa karibu.
 
Hahahaha daah aise, yani umejiwekea vikwazo kama iran ilivyowekewa na wakubwa, mkuu hayo ni zaidi ya mateso,mda wote unapaswa kuwa makini kama CIA ili... Tajiri Sina BAYA #HAUNA BAYA TAJIRI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom