jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,016
Habari za mihangaiko wadau,
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye ukoka mwembamba sana kwa hapa Dar anipatie mbegu nami nikapande kwenye eneo langu,
Ninajua kwamba unauzwa kwa vijana wa garden sehemu mbalimbali hapa mjini,lakini hali yangu ya kiuchumi kwa sasa sio rafiki sana kiasi cha mimi kumudu kuununua. Nitaufwata mwenyewe sehemu yoyote hapa Dar.
Namba zangu ni 0621003284
Wasalaam.
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye ukoka mwembamba sana kwa hapa Dar anipatie mbegu nami nikapande kwenye eneo langu,
Ninajua kwamba unauzwa kwa vijana wa garden sehemu mbalimbali hapa mjini,lakini hali yangu ya kiuchumi kwa sasa sio rafiki sana kiasi cha mimi kumudu kuununua. Nitaufwata mwenyewe sehemu yoyote hapa Dar.
Namba zangu ni 0621003284
Wasalaam.