Msaada mwenye ujuzi wa kifaa hichi kinaitwaje?

Msaada mwenye ujuzi wa kifaa hichi kinaitwaje?

victor moshi

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
829
Reaction score
1,064
Kati pita pita zangu mikoa tofauti nimeshakutana na magari katha ya mebeba hicho kifaa mfano Arusha, mwanza, Kilimanjaro .
Wakuu kama kuna mtu mwenye uelewa naomba atupe maelezo.

A) jina la hicho kifaa
B)matumizi yakee?
C) na kina fanya je kazi?

IMG_20220131_183425.jpg
 
Kati pita pita zangu mikoa tofauti nimeshakutana na magari katha ya mebeba hicho kifaa mfano Arusha, mwanza, Kilimanjaro .
Wakuu kama kuna mtu mwenye uelewa naomba atupe maelezo
A) jina la hicho kifaa
B)matumizi yakee..!?
C) na kina fanya je kazi..!?View attachment 2102984

Ni antenna ya kunasa mawimbi tofauti tofauti. Hizi zinatumika kwenye magari ta TCRA kunasa au kufuatilia mawimbi na chanzo chake. Hapo ndio unakuta una kituo cha redio bila leseni unafuatwa hadi ulipo
 
Ni antenna ya kunasa mawimbi tofauti tofauti. Hizi zinatumika kwenye magari ta TCRA kunasa au kufuatilia mawimbi na chanzo chake. Hapo ndio unakuta una kituo cha redio bila leseni unafuatwa hadi ulipo
Sawa mkuu nimekuelewa asante kwa ufafanuzi
 
Huwa kinakagua ubora wa mawasiliano, kujua kama freq. zinatumika sahihi, kuwanasa wanaobroadcast bila leseni. Kuwanasa wanaorusha matangazo nje ya mipaka yao nk.

Simply kinatumika kufuatilia na kudhibiti masafa
 
Back
Top Bottom