victor moshi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 829
- 1,064
Kati pita pita zangu mikoa tofauti nimeshakutana na magari katha ya mebeba hicho kifaa mfano Arusha, mwanza, Kilimanjaro .
Wakuu kama kuna mtu mwenye uelewa naomba atupe maelezo.
A) jina la hicho kifaa
B)matumizi yakee?
C) na kina fanya je kazi?
Wakuu kama kuna mtu mwenye uelewa naomba atupe maelezo.
A) jina la hicho kifaa
B)matumizi yakee?
C) na kina fanya je kazi?