Umesoma pcb? Unajua maana ya possible za practicalAcha ukilaza wew Siku zote ulikuwa unafanya nini mpaka ukumbuke shuka asubuhi
Interview na shule ni vtu viwili tofautiAcheni kumpotosha,wangapi wanakuja uku kuomba muongozo wa Interview questions? mbona mnawapa na wengine wanatumia hadi notes za kusoma? kwanini uyu anaomba possible questions mnamtamkia maneno ya kukatisha tamaa? acheni wivu wa kike msaidie kama una uwezo kama hauna kausha.Mtihani mwema mkuu
kusoma pcb ndio inamaanisha uibe mtihani?? ficha upuuzi wako wewe mtotoUmesoma pcb? Unajua maana ya possible za practical
Ona aibu hata kidogo basi we mtoto, unasoma shule gani?Watu kama hawa ni wa kupuuza
Uzuri ni kuwa wengine hawafaham hata maana ya practical na kwann nasema na shida na possible
By the way tumeshazipata na tunachokwenda kufanya ni kuchukua alama nying zaid
Asante
Poa poa mkuuUkishafanya hilo paper unitafute....
Hata hili ni jibu! wewe wenzako wanasoma sana kuomba Mungu sana! wewe husomi na badala ya kuomba Mungu unaomba possible!!??Kama kichwa kinavosema ndugu yenu natafuta .. Mwenye nazo ani pm tuongee
!! Soma sana! One minute can change your life!Tatizo mnakurupukaHata hili ni jibu! wewe wenzako wanasoma sana kuomba Mungu sana! wewe husomi na badala ya kuomba Mungu unaomba possible!!??![]()
![]()
![]()
!! Soma sana! One minute can change your life!
Hivi nani hana akili? wewe unataka possible au aliekuambia kasome! ni dogo lako sawa! wewe kaka kilaza kweli! Mwambie asome! unamtafutia possible? alikuwa wapi asisome!? Wewe mwenye akili endelea kumwombe possible! mwambie asubiri atapata possibleTatizo mnakurupuka
Ivi ningekuwa na shida mimi na hizo possible sasa iv si ningekuwa kwenye mitihani
Ningepata wapi muda wa Jf
Kuna dogo langu alikuwa na shida
Anyway kila mtu na uelewa wake
Alishapata Jana toka kwa mwanafunzi wa fezaHivi nani hana akili? wewe unataka possible au aliekuambia kasome! ni dogo lako sawa! wewe kaka kilaza kweli! Mwambie asome! unamtafutia possible? alikuwa wapi asisome!? Wewe mwenye akili endelea kumwombe possible! mwambie asubiri atapata possible
kulikuwa kuna haja gani kuitaja shule feza?Alishapata Jana toka kwa mwanafunzi wa feza
Leo hii ndo anapiga paper
Tumwombee