Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Acha uongo. Haipo Tanzania, yeye kasoma wapi? Nyie clinical officers mna nyodo sana. Unasoma math halafu unaajiriwa Ocean Road kutoa tiba ya mionzi. Acha kueneza uongo. Kama hakusaidiwa huko chuoni ambako amesoma miaka kadhaa na kutoka bila kujua jinsi ya kuandika jina la kozi, mimi nitamsaidiaje hapa JF? Usielewe jina la kozi uliyosoma kwa miaka 3 halafu uje ujue jina ukiwa field? Unafikiria kwa kutumia nini wewe?
Adui wa kwanza wa Africa ni sisi African people hasa viongozi,unajua kabisa hiyo kozi kwa Tz haipo na wanaajiri watu wa phy na math,na kijana anaomba msaada wa kujua nin afanye aweze kupata nafasi wewe mtu ambae kazi unayo ndio unaanza kumkatisha tamaa na kutukana watu.shame on you....na Kama ulikuwa hujui au unajua Medical field unakuwa vizur na kujua Mambo ukishakuwa kazini na sio darasani.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app