Zeddicus Zu'l Zorander
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 797
- 929
Kuna watu wana ujuaji mwingi, yaani mtu kukosea spelling tuu inakuwa nongwa khaaa!!
🙏🙏🙏Ameshakuambia hiyo kazi waachie wenzako. Acha kulumbana
Achana nao hao Mungu ni mwema sanaKuna watu wana ujuaji mwingi, yaani mtu kukosea spelling tuu inakuwa nongwa khaaa!!
Ndio kuna hesabu zipo humoNimeona hii kozi lazima uwe na physics na hesabu.
#MaendeleoHayanaChama
Sasa mkuu siungesema shida ni spelling mbona jambo dogo unalikuza sana?ukiona umefanikiwa sana usidhalau wasionacho mkuu
SawaHili si suala la kuwa na gari, fedha, nyumba ama mwenza. Ni suala la wewe kusoma miaka 3 ama zaidi lakini usijue hata jina la ulichosoma katika miaka hiyo. Kama hili ni gumu kwako hizo dose za mionzi utaziweza? Si utaunguza watu kwa mionzi?
Wewe ndio hujui, wapo hapa ocean road wanafany kazi.Usiropoke siku nyingine uliza...Does not exist in the medical field. Kama haujui hata jina la kazi uliomba na kuitwa kwenye interview, utapataje hiyo kazi. Uliisomea kweli ama umechukuwa cheti cha mtu? Medical kozi fupi sana ni miaka 3. Yaani wewe ulisoma miaka 3 halafu haujui hata kazi hiyo!! Dunia ina maajabu! Ama ni chai bila vitafunio?
Usibishe. Mie nawafundisha wenzio hapa Ocean Road. Huyo ni medical physicist. Angalia tofauti hapo. Hiyo kazi haikufai. Waachie wengine.
Kwa Tanzania haipo hiwa wanachukua mtu aliesoma bachelor in physics na mtu aliesoma education ya math na physHiyo kozi ya Medical physicist inatolewa wapi hapa Tanzania kwa bachelor degree?
Ili upate kazi ya medical physicist lazima uwe na masters of medical physics, siyo masters of physics. Hiyo masters inatolewa South Africa na Ghana kwa Africa na nchi nyingine za Asia, Europe na mabara mengineyo
Kama una bachelor of physics ili upate hiyo nafasi basi uwe na connection na wakubwa vinginevyo utakuwa volunteer tu baada ya short training inayohusika na human anatomy, physiology, radiotherapy dose calculation & quality assurance of the machines.
Kukosea spelling ndio unajifanya kumuona mtu hajui kabisa..kwamba wewe you are so so perfect.Shame on you
Mkuu kumuita mtu mjinga unakosea sanaWee utakuwa mjinga mwenzie. Kakosea mara moja? Watu wengi wamemrekebisha lakini haoni kosa. Hiyo ni kukosea spelling? Kama una kazi mpe.
Sijakufata kukuomba kazi wewe kama wewe nilichokiomba kwa wadau ni mwenye idea na maswali ya hiyo kozi sasa sijajua kinachokupa shida nini?kama unajua na hujaweza kutoa msaada ni vyema ungekaa kimya haina haja yakuanza kujibizanaWee utakuwa mjinga mwenzie. Kakosea mara moja? Watu wengi wamemrekebisha lakini haoni kosa. Hiyo ni kukosea spelling? Kama una kazi mpe.
Sijakufata kukuomba kazi wewe kama wewe nilichokiomba kwa wadau ni mwenye idea na maswali ya hiyo kozi sasa sijajua kinachokupa shida nini?kama unajua na hujaweza kutoa msaada ni vyema ungekaa kimya haina haja yakuanza kujibizana
Mkuu kumuita mtu mjinga unakosea sana
Asante usijaliUsiwe mjinga tena. Mjinga siyo tusi. Mjinga ni hali ya kutokujua kitu (ignorant).