pamoja sana mkuuNgoja waje kukupa muongozo
medical physicist ndio naskia kwako aise, ndio yupi huyo Tanzania hiiHabari wakuu,
Naomba mwenye idea ya interview za utumishi kada ya medical physist maswali yake yanakuwaje?
Msaada please.
Watu wanaohusika kwenye cancerous therapymedical physicist ndio naskia kwako aise, ndio yupi huyo Tanzania hii
medical physist
Mkuu kama hujui kitu uliza pia kuliko kuanza majigambo yakujua ulichosomea au kutokujua ,najua hujui kuhusu medical physist umeshawahi kwenda ocean road ukaona dosimetry plan ya cancer inafanywa na mtu gani ?oncologist lazima awe na medical physist kwaajili ya nuclear dosage nadhani utakuwa umenielewaDoes not exist in the medical field. Kama haujui hata jina la kazi uliomba na kuitwa kwenye interview, utapataje hiyo kazi. Uliisomea kweli ama umechukuwa cheti cha mtu? Medical kozi fupi sana ni miaka 3. Yaani wewe ulisoma miaka 3 halafu haujui hata kazi hiyo!! Dunia ina maajabu! Ama ni chai bila vitafunio?
medical physist
ungemsaidia tu mkuu kama unajuaUsibishe. Mie nawafundisha wenzio hapa Ocean Road. Huyo ni medical physicist. Angalia tofauti hapo. Hiyo kazi haikufai. Waachie wengine.
ungemsaidia tu mkuu kama unajua
kuliko kulumbana kisa kukosea spelling
tu lugha zetu ni ulakoze chane
Umenena vema, huwezi sahau jina la kozi yako hata mara moja.Unaweza kusoma mathalani hesabu miaka 3 halafu usikumbuke jina la somo lenyewe? Sasa hiyo kazi utaifanya vipi kama jina la somo tu haukumbuki?
nuclear dosage
Sasa mkuu siungesema shida ni spelling mbona jambo dogo unalikuza sana?ukiona umefanikiwa sana usidhalau wasionacho mkuuUsibishe. Mie nawafundisha wenzio hapa Ocean Road. Huyo ni medical physicist. Angalia tofauti hapo. Hiyo kazi haikufai. Waachie wengine.
Nani anaecalculate dose??Sema radiotherapy administration. Dose anaamua daktari.
Anyway siwalau sana lakini Mungu ni mwema sanaUmenena vema, huwezi sahau jina la kozi yako hata mara moja.
Usibishe. Mie nawafundisha wenzio hapa Ocean Road. Huyo ni medical physicist. Angalia tofauti hapo. Hiyo kazi haikufai. Waachie wengine.