Msaada: Muwasho na maumivu sehemu za siri

makondekoujiji

JF-Expert Member
Aug 31, 2015
384
499
Habari wakuu,
Naomba msaada waharaka, ninampenzi wangu ambae kwamara ya kwanza nimesex nae ilikuwa ni juzi ijumaa,jumamosi akaanza kuhisi muwasho sehemu za siri haswa anapokwenda haja ndogo.

Jana na Leo anadai anahisi maumivu yaani kama kuna michubuko.

Naomba msaada atumie Dawa gani ili arudi katika hali yake ya kawaida?

Ahsanteni.
 
Last edited by a moderator:
Habari wakuu,
Naomba msaada waharaka,ninampenzi wangu ambae kwamara ya kwanza nimesex nae nilikuwa.ni juzijumaa,jumamosi akaanza kuhisi muwasho sehemu za siri haswa anapokwenda haja ndogo.Jana na Leo anadai anahisi.maumivu yaani kama kunamichubuko.Naomba msaada atumie Dawa gani ili arudi ktk hali yake ya kawaida?AhsanteniAhsanteni.
Mimi ME ila.mwenyewe matatizo ni KE
 
Back
Top Bottom