Msaada, mume wangu mtarajiwa simuelewi !

Msaada, mume wangu mtarajiwa simuelewi !

princessrahma

Member
Joined
Oct 14, 2014
Posts
9
Reaction score
0
Habari wana jf.Mimi ni mgeni humu ila napenda kushea hili nililo nalo ili nipate ushauri zaidi. Nina rafiki yangu ambaye ana mchumba wake wanatarajia kufunga ndoa mwezi ujao ila tatizo ni kwamba huyo mchumba ambaye ni me amekuwa hamuelewi cku hizi, wanaweza wakakwaruzana hata kwa kitu kidogo tu kisichokuwa na maana na kuweza kununiana kwa cku nzima mpaka kesho yake tena hata kama me ndo mwenye makosa hapigi simu wala hatumi meseji mpaka ke aanze kumtumia meseji au kumpigia. Je wakuu mnaliongeleaje hili suala maana ni msaada kweye tuta. Ushauri plz nini cha kufanya ili hii mikwaruzano isiwepo
 
hivo ni vitu vya kawaida most of men hawapend kujishusha hata km wamekosea cha muhimu wakae chini waongee hivyo ni vitu vidogo vinarekebishika.
 
karibu bana...sr bachelor nazidi kupata wigo wa kuchagua hapa
 
Wewe utakuwa mmbea sana kama kwa mara ya kwanza umeingia tu huku na kuanza kutoa story za maisha ya watu
 
princessrahma mbona kichwa cha habari kinakuhusu wewe ila habari yenyewe inamuhusu rafiki yako?

Anyway jaribu kuongea nae (aongee nae) ni kitu gani asichokipenda kutoka (kwako)??
 
Last edited by a moderator:
...hawajaui wanachofanya kwa maana na tafsiri halisi ya ndoa...
 
princessrahma mbona kichwa cha habari kinakuhusu wewe ila habari yenyewe inamuhusu rafiki yako?

Anyway jaribu kuongea nae (aongee nae) ni kitu gani asichokipenda kutoka (kwako)??

MKUU umeniwahi tu huyu binti mhanga n yy ila anaona noma
 
Last edited by a moderator:
Cjajua bado kuquote ila ntaelewa kidogokidogo. Jilala asante , ila kila akimuuliza mbona cku hizi umebadilika, anachojibu ni kwamba hakuna tatizo lolote, mambo tu yamekuwa Mengi. Hivyo anashindwa amuelewe vipi
 
Wewe utakuwa mnafiki tena mchawi,, kwa nini unafatilia doa za wezako!!!!

kwa nini yeye asije hapa akaomba ushauri, lakn wewe unatafuta mawazo ya ubeya ukaharibu doa ya mwezako si ndiyo!!
 
Nuptials overall valuations still reading boo-boo, on that situation man is in anxiety attack... looking for escape route!
 
Habari wana jf.Mimi ni mgeni humu ila napenda kushea hili nililo nalo ili nipate ushauri zaidi. Nina rafiki yangu ambaye ana mchumba wake wanatarajia kufunga ndoa mwezi ujao ila tatizo ni kwamba huyo mchumba ambaye ni me amekuwa hamuelewi cku hizi, wanaweza wakakwaruzana hata kwa kitu kidogo tu kisichokuwa na maana na kuweza kununiana kwa cku nzima mpaka kesho yake tena hata kama me ndo mwenye makosa hapigi simu wala hatumi meseji mpaka ke aanze kumtumia meseji au kumpigia. Je wakuu mnaliongeleaje hili suala maana ni msaada kweye tuta. Ushauri plz nini cha kufanya ili hii mikwaruzano isiwepo

Nimejaribu kusoma kilicho jificha nyuma ya maandishi mekundu nikagundua hilitukio linakuhusu ingawa kwenye read ulipunguza umakini kidoooo...
Back to the point, huye me anadeka tu. Nizo ni mbwembwe tu, nakushauri umshauri huyo unaemuita rafiki yako amsome jamaa then amazee, pia ajitahidi kumpuuza kama kweli anataka kujenga familia.😛eep:😛eep:
 
God bell and shy land.hapa nipo kutaka ushauri ili niweze kujua namsaidia vipi. Sio kubomoa kama shy land unavyodhani. Nadhani nimeeleweka
 
Last edited by a moderator:
God bell and shy land.hapa nipo kutaka ushauri ili niweze kujua namsaidia vipi. Sio kubomoa kama shy land unavyodhani. Nadhani nimeeleweka

Nimekuelewa kwa 100%

ushuri,

huyo mwanamme hampendi mwanamke, na anaona kama alipoteza mda tu kuwa naye!!!
 
Last edited by a moderator:
Hayo mambo yp ktk mahusiano mashaka yangu ni hp bd wachumba iko hivyo je ndoa itakuwaje vzr ameyajua mapema ht yakiendelea yatakuwa co magen tena
 
Uongo mwingine bwana hii habari.si yako wewe??? Karibu jf where we dare to talk openly...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom