Ni pale pale Kinondoni B. Kama unatokea Mkwajuni ni baada ya kituo cha mwendokasi kona ya kwanza kushoto. Ukishakata kona tu utaiona hiyo clinic imeandikwa Kinondoni B Clinic.Asante kwa ushauri ndugu
Huyo dokta ntampateje Kinondoni B kubwa, kama unajua ofisi yake ilipo au jina la ofisi utakua umenisaidia zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani kwa kuchelewa kujibu