Mkuu ulifanya Nini mpaka akaanza kula, bila kutapika?Mkuu acha tuu huo umri ndo wenyewe yani Unaweza ugua kichaa...Mwanangu alikuwa hali na akila anatapika dadekii..!!
Mkuu jaribu kufafanua . Hii shida ni mbaya sanaMchunguze anaweza akawa na meno ya plastic, huwa yanawasumbua sana watoto
Mchunguze anaweza akawa na meno ya plastic, huwa yanawasumbua sana watoto