Habarini za asubuhi ndugu zangu.
Ninamtoto wa kiume anasumbuliwa na tatizo la tumbo.
Nikimpa chakula tu, ama uji baada ya dakika 20 hivi lazima atajisaidia malenda malenda, yaani chakula hakikai tumboni.
Nilimpima choo kikaonekana hakina tatizo.
Naomba ushauri ndugu zangu nifanyeje?
Kwa yeyote anaemjua daktari bingwa wa watoto naomba anijulishe.
Nipo dar Kigamboni.
Ninamtoto wa kiume anasumbuliwa na tatizo la tumbo.
Nikimpa chakula tu, ama uji baada ya dakika 20 hivi lazima atajisaidia malenda malenda, yaani chakula hakikai tumboni.
Nilimpima choo kikaonekana hakina tatizo.
Naomba ushauri ndugu zangu nifanyeje?
Kwa yeyote anaemjua daktari bingwa wa watoto naomba anijulishe.
Nipo dar Kigamboni.