kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 6,273
- 9,584
Ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu,
Nina mtoto anakohoa sana usiku hasa kuanzia saa sita mpaka saa moja asubuhi.
Ni wiki ya nne sasa nimempeleka hospitali dawa zote zimekataa. Ana kikohozi kile kikavu ana miaka 5.Imekuwa ikijirudia kwa miaka kadhaa sasa toka akiwa mdogo.
Hospitali za watoto nyingi ameshaenda hapa DSM ameshapewa nyingi mno lakini wapi.
Pia kuna kipindi kinaanzaga kikavu alafu inageuka kuwa na home baada ya week au siku kadhaa.Tukipewa antibiotic kinalainika kwa muda alafu kinaanza tena kikavu tena.
Naombeni msaada plz.
Naombeni msaada wenu,
Nina mtoto anakohoa sana usiku hasa kuanzia saa sita mpaka saa moja asubuhi.
Ni wiki ya nne sasa nimempeleka hospitali dawa zote zimekataa. Ana kikohozi kile kikavu ana miaka 5.Imekuwa ikijirudia kwa miaka kadhaa sasa toka akiwa mdogo.
Hospitali za watoto nyingi ameshaenda hapa DSM ameshapewa nyingi mno lakini wapi.
Pia kuna kipindi kinaanzaga kikavu alafu inageuka kuwa na home baada ya week au siku kadhaa.Tukipewa antibiotic kinalainika kwa muda alafu kinaanza tena kikavu tena.
Naombeni msaada plz.