S shijasilas New Member Aug 12, 2012 3 0 Sep 24, 2012 #1 ada ni 1500000 law udsm n mkopo 3564500 % ndo ngap?
E EJay JF-Expert Member May 21, 2012 693 172 Sep 24, 2012 #2 kuna mkanganyiko wa hela za field,kama hizi hela zingekuwa the same to all yaani 600,000/=basi una 60% boom na vitabu ni 1,985,000/= field 600,000/=then itakayobaki itoe kutoka kwenye ada ujue unapaswa ulipilie ngapi.
kuna mkanganyiko wa hela za field,kama hizi hela zingekuwa the same to all yaani 600,000/=basi una 60% boom na vitabu ni 1,985,000/= field 600,000/=then itakayobaki itoe kutoka kwenye ada ujue unapaswa ulipilie ngapi.
B Best Mzava Senior Member Jul 20, 2012 135 10 Sep 24, 2012 #3 Wakuu je huu mkopo wangu ni % ngapi 3,343,000 tution fee ni sh 1,263,000 na mwaka wa kwanza cfanyifield
Wakuu je huu mkopo wangu ni % ngapi 3,343,000 tution fee ni sh 1,263,000 na mwaka wa kwanza cfanyifield
M Mpendawali Member Jul 29, 2012 63 7 Sep 24, 2012 #4 Best Mzava said: Wakuu je huu mkopo wangu ni % ngapi 3,343,000 tution fee ni sh 1,263,000 na mwaka wa kwanza cfanyifield Click to expand... jieleze vizur bac!!unapga chuo gan na facult gan!!il wa2 2fanye hesabu
Best Mzava said: Wakuu je huu mkopo wangu ni % ngapi 3,343,000 tution fee ni sh 1,263,000 na mwaka wa kwanza cfanyifield Click to expand... jieleze vizur bac!!unapga chuo gan na facult gan!!il wa2 2fanye hesabu