Sai Baba la Kampala ndio hitimisho la ombi lako....Muda bado upo
Kuna jamaa zangu (Moshi saa 4 asubuhi) waliaribikiwa na gari na ilibidi wafike Dar usiku kesho yake waendelee na safari Air port, Muungwana mmoja wa kichaga akawashauri wawasiliane na ofisi za Sai Baba bus la Kampala, Alfajiri walikuwa Dar na Mchana wakawahi (J.I.A) waendako.