Unataka usafiri wa msaada au?Habari ya muda huu ndugu wa JF,
Nipo Moshi hapa Kibosho, Mungu akipenda hadi inapoingia usiku niwe Dar
Msaada kwa yoyote anayefika Dar nitamlinda chochote kitu niwe nimefika hapo Dar.
Utamlinda CHOCHOTE KILE? Mbona kama unajiuza kiaina?Habari ya muda huu ndugu wa JF,
Nipo Moshi hapa Kibosho, Mungu akipenda hadi inapoingia usiku niwe Dar
Msaada kwa yoyote anayefika Dar nitamlinda chochote kitu niwe nimefika hapo Dar.
Ahahahahah kashawawashia mataa, Washindwe wao tuu kupitaUtamlinda CHOCHOTE KILE? Mbona kama unajiuza kiaina?