msaada modem yangu ya huawei inanitoa jasho

msaada modem yangu ya huawei inanitoa jasho

mapunda b

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
418
Reaction score
19
natumia modem ya huawei e153 ya airtel mkoan mtwara uku na nikwa mda mrefu 3g network ilikua aipatkan sasa yapita siku tatu sasa imeanza patikana hasa kuanzia jion ila sasa nikiconnect siwezi chukua mda mrefu kama lisaa iv then inajidisconnect afu inashindwa kuconnect tena atakam nikiipeleka kweny 2g ambayo ni edge inagama na mtandao uko good tu. Natumia dashboard ya mobilepartner

ivi tatizo laweza kuwa ni nini
msaada wenu tafadhari......
THANKS IN ADVANCE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom