Msaada, mkopo bila hati inawezekana?

No Escape

JF-Expert Member
Mar 7, 2016
6,663
7,737
Wadau,

Naomba wajuzi wanisaidie nina nyumba yangu-unfinished nimeshaezeka na kuweka magrili ila nimekwama kibiashara.Nahitaji mkopo ila sina hati nina barua documents za mauzo kutoka serikali za mtaa naomba ushauri.
 
Wadau naomba wajuzi wanisaidie nina nyumba yangu-unfinished nimeshaezeka na kuweka magril ila nimekwama kibiashara.....nahitaji mkopo ila sina hati nina barua documents za mauzo kutoka serikali za mtaa naomba ushauri!
Nenda finca utapata mkopo
 
Una leseni ya biashara au unaeneo la biashara ambalolipo fixed??? Kama ni ivo basi unaweza ukatumia hizo kupata mkopo..
 
Yan kama una lesen ya biashara na unalo eneo la biashara ambalo lipo fixed yan kama frame ya duka,garage n.k unaweza ukajaribu pale makumbusho kuna ofisi inaitwa tujijenge na huku ubungo external ipo mtaji credit facility.. Pia naamin kutumia hizo unaweza ukapata kwa mabenki.. Ila jion mida ya saa 1 nitakupm ofisi ya uhakika ngoja kuna wadau nichonge nao
 
Yan kama una lesen ya biashara na unalo eneo la biashara ambalo lipo fixed yan kama frame ya duka,garage n.k unaweza ukajaribu pale makumbusho kuna ofisi inaitwa tujijenge na huku ubungo external ipo mtaji credit facility.. Pia naamin kutumia hizo unaweza ukapata kwa mabenki.. Ila jion mida ya saa 1 nitakupm ofisi ya uhakika ngoja kuna wadau nichonge nao
Ok Ahsante...nakusubiri!
 
Wadau,

Naomba wajuzi wanisaidie nina nyumba yangu-unfinished nimeshaezeka na kuweka magrili ila nimekwama kibiashara.Nahitaji mkopo ila sina hati nina barua documents za mauzo kutoka serikali za mtaa naomba ushauri.
Mkuu sio nakukatisha tamaa lakini huu ni muda mzuri wa kukopa...? Naona kama namba haisomeki moja haikai wala mbili haisimami ukiingia mkopo muda huu hutaongeza kichwa kuuma...? Wazo tu mkuu...
 
Mkuu sio nakukatisha tamaa lakini huu ni muda mzuri wa kukopa...? Naona kama namba haisomeki moja haikai wala mbili haisimami ukiingia mkopo muda huu hutaongeza kichwa kuuma...? Wazo tu mkuu...
Mhhh! Sijakuelewa....why kichwa kiume tena,fafanua bac
 
Back
Top Bottom