Kwani ni lazima ukipiga Siku za hatari mimba ishike?
Huenda shahawa zako hazina uwezo wa kutungisha mimba, ama demu akawa na matatizo yake. Ama, mliwahi au mlichelewa kabla ya siku zitakiwazo. Kufanya mapenzi kipindi cha hedhi ya mwanamke haimaanishi kuwa atapata mimba moja kwa moja.
Mlipiga mkiwa na nia ya kutungisha, sasa nyie pigeni wakati hamkutegemea. Lazima kitu kiingie.