silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,536
- 2,230
Wakuu habari zenu.
Ninatarajia kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii kwa hapa Zanzibar (ZSSF). Jee hii mifuko inamsaidia vipi mchangiaji na nini sheria zake kwa waajiriwa na waajiri?
Natanguliza shukurani!
Ninatarajia kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii kwa hapa Zanzibar (ZSSF). Jee hii mifuko inamsaidia vipi mchangiaji na nini sheria zake kwa waajiriwa na waajiri?
Natanguliza shukurani!