Msaada Mfanyakazi wa ndani

Msaada Mfanyakazi wa ndani

Weka dau mkuu, kila kitu simple sasa hata wa mikocheni na masaki utawapata
 
Kuna binti ameondoka hapa jana alikuwa anafanya kazi kwa jirani yetu ila shida iliyomuondoa ni huyu mama anaroho mbaya sana, dada anajituma ile mbaya,pia ni msafi hatareee, ila huyu mama na roho yake mbaya kila siku anamfokea sana, so mkeo sio mkali? Me ni mwanamke ila naumia sana watu hasa wanawake wenzangu wanavyowachukulia wasichana wa kazi jamani, nao ni binadamu ati.
 
Je mkeo hana wivu, kuna bint msafi sana na mzuri wa sura ameishia form 2, je upo tayari kumlipa laki moja?
 
mkuu nitashukuru ukinisaidia,hakuna tatizo kama ilo kwangu,tumehangaika sana,niandikie namba zako tafadhali tuzungumze.
 
Back
Top Bottom