Samahani wakuu nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nimechaguliwa kujiunga na diploma pale MIST kozi ya Mechatronics Engineering.
Sasa naomba nifahamu kuhusu hii kozi inahusika na nini? Vilevile watu wanaosoma hii kozi wanafanya kazi sehemu zipi?
Natanguliza shukrani
Sasa naomba nifahamu kuhusu hii kozi inahusika na nini? Vilevile watu wanaosoma hii kozi wanafanya kazi sehemu zipi?
Natanguliza shukrani