Hapo kwamba alibakwa ndio amekudanganya. Hajabakwa huyo alitoa game kwa hiari.
Jambo lingine huyo mwanamke sio mkweli,hiyo kwangu ni point muhimu ya kumdiskolifai na kila kitu. Kama alitaka akusingizie mimba wakati anajua sio yako kwa maksudi bado unamuamini?
Hiyo ya kulia lia ni defence mechanism ya kutafta sympathy kwako ili umkubalie shida yake vinginevyo hana jipya,ni tapeli sema keshagundua wewe ni zombi akikwambia lolote unakubali.
Ok,nakushauri mdogo wangu achana na huyo binti,sio mtu mzuri kabisa.
Lingine mdogo wangu jitahidi uwe unaandika kwa aya,haiwezekani useme una elimu ya chuo kikuu uandishi wako uwe hivi.