Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 592
- 1,698
Naomba msaada ndugu maana nipo kwenye hali ya masononeko sana nashindwa kuelewa hiki ni nini.
Ipo hivi, nipo kwenye mahusiano na binti fulani mweupe sana na ni mrembo kweli kweli ila jambo linalo nishangaza ni kuwa ana UPELE mdogo mdogo karibu sehemu kubwa za mwili wake na usoni ndio zimejaa kama chunusi fulani hivi ila zimekomaa, sasa ninashindwa kuelewa ni ugonjwa gani
Ila taa nyekundu kuna muda inaniwakia,ninahisi uwenda ana HIV positive….naombeni Msaada kwa hili ndugu zangu.
Ipo hivi, nipo kwenye mahusiano na binti fulani mweupe sana na ni mrembo kweli kweli ila jambo linalo nishangaza ni kuwa ana UPELE mdogo mdogo karibu sehemu kubwa za mwili wake na usoni ndio zimejaa kama chunusi fulani hivi ila zimekomaa, sasa ninashindwa kuelewa ni ugonjwa gani
Ila taa nyekundu kuna muda inaniwakia,ninahisi uwenda ana HIV positive….naombeni Msaada kwa hili ndugu zangu.
