hemedis grandson
Member
- Feb 12, 2020
- 21
- 25
Naomba kufahamu mchanganuo wa Biashara ya Tigopesa kwa Kusajili Laini yangu Mwenyewe.
1. Gharama za Usajili
2. Vitu ninavyotakiwa kuwa navyo ili kusajili
3. Ufafanuzi kidogo juu ya malipo ya kamisheni yakuwaje (mfano ni asilimia ngapi ya muamala nk)
Natanguliza Shukrani.
NB: Sihitaji kununua laini ya Tigopesa iliyosajiliwa nataka Kusajili kwa Majina Yangu.
1. Gharama za Usajili
2. Vitu ninavyotakiwa kuwa navyo ili kusajili
3. Ufafanuzi kidogo juu ya malipo ya kamisheni yakuwaje (mfano ni asilimia ngapi ya muamala nk)
Natanguliza Shukrani.
NB: Sihitaji kununua laini ya Tigopesa iliyosajiliwa nataka Kusajili kwa Majina Yangu.