Msaada: Mbegu za bata mziga/vifaranga vinapatikana wapi?

Msaada: Mbegu za bata mziga/vifaranga vinapatikana wapi?

Spanishboy

Senior Member
Joined
Apr 24, 2011
Posts
118
Reaction score
65
Nahitaji kujua mambo matatu waungwana
1. Upatikanaji wa mbegu za bata mzinga, pengine bata mzinga ambaye anaweza kutaga au vifaranga. 2. Chakula chake ni kama cha kuku wa kawaida au?
3. Banda la kufugia ni kama la kuku tu au likoje?
 
Back
Top Bottom