Spanishboy
Senior Member
- Apr 24, 2011
- 118
- 65
Nahitaji kujua mambo matatu waungwana
1. Upatikanaji wa mbegu za bata mzinga, pengine bata mzinga ambaye anaweza kutaga au vifaranga. 2. Chakula chake ni kama cha kuku wa kawaida au?
3. Banda la kufugia ni kama la kuku tu au likoje?
1. Upatikanaji wa mbegu za bata mzinga, pengine bata mzinga ambaye anaweza kutaga au vifaranga. 2. Chakula chake ni kama cha kuku wa kawaida au?
3. Banda la kufugia ni kama la kuku tu au likoje?