Msaada matumizi ya switch socket ya aina hii

Msaada matumizi ya switch socket ya aina hii

Thesis

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2017
Posts
1,805
Reaction score
3,119
Jamani nisaidieni, nyumbani kuna socket hii yenye swich mbili. Hapa nyumbani nina Jiko la umeme, je swich ipi hapa niiweke on. Pia nina microwave ambayo nikiwasha switch hiyo iliyokaribu na socket linafanya kazi vizuri tu, Je, nipo sahihi kwa matumizi ya microwave?

Wakati natumia cooker nachomeka kwenye socket hiyo hiyo na je lazima swichi zote mbili ziwe on au moja inakuwa off.
1546673208251.jpeg
 

Attachments

  • 1546673470613.jpeg
    1546673470613.jpeg
    21.5 KB · Views: 112
Jamani nisaidieni, nyumbani kuna socket hii yenye swich mbili. Hapa nyumbani nina Jiko la umeme, je swich ipi hapi niiweke on. Pia nina microwave ambayo nikiwasha switch hiyo iliyokaribu na socket linafanya kazi vizuri tu, Je, nipo sahihi kwa matumizi ya microwave? Wakati natumia cooker lazima zote ziwe on au moja inakuwa off.
View attachment 986502
Hiyo inaitwa cooker control unit.. Ipo specific kwa majiko ya umeme. Ipo hivi
1. Jiko huungwa ndani kwa ndani kupitia conduit moja kwa moja kwenda kwenye jiko. unapowasha hicho kilichoandikwa cooker ON ndo unawasha jiko peke yake, then kama ni la plate moja au nne au zozote, utawasha plate husika kwenye jiko
2. Hiyo socket kwa pembeni, inatumika kama socket nyingine za nyumbani kwako. wakati unatumia jiko, hapo kwenye socket unaweza weka birika la umeme au jagi la kuchemsha maji...
3. Waya unaoleta umeme kwenye cooker control unit, pale inapoungwa, inapeleka umeme kwenye jiko na kwenye socket ya hapo pembeni. Kila moja inajitegemea kwenye kuwasha na kuzima
4. Size ya waya inayopeleka umeme hapo kwenye cooker control unit huwa ni kubwa (4 square millimeter) kuliko ya socket nyingine za ndani kwako (2.5 square millimeter)

Majibu yasiyokusaidia yavumilie tu kiongozi… KWENYE KUJIANDIKISHA HUMU JF, hutupimwi chochote ili kuamua uandikishwe au la..!!!
 
Hiyo inaitwa cooker control unit.. Ipo specific kwa majiko ya umeme. Ipo hivi
1. Jiko huungwa ndani kwa ndani kupitia conduit moja kwa moja kwenda kwenye jiko. unapowasha hicho kilichoandikwa cooker ON ndo unawasha jiko peke yake, then kama ni la plate moja au nne au zozote, utawasha plate husika kwenye jiko
2. Hiyo socket kwa pembeni, inatumika kama socket nyingine za nyumbani kwako. wakati unatumia jiko, hapo kwenye socket unaweza weka birika la umeme au jagi la kuchemsha maji...
3. Waya unaoleta umeme kwenye cooker control unit, pale inapoungwa, inapeleka umeme kwenye jiko na kwenye socket ya hapo pembeni. Kila moja inajitegemea kwenye kuwasha na kuzima
4. Size ya waya inayopeleka umeme hapo kwenye cooker control unit huwa ni kubwa (4 square millimeter) kuliko ya socket nyingine za ndani kwako (2.5 square millimeter)

Majibu yasiyokusaidia yavumilie tu kiongozi… KWENYE KUJIANDIKISHA HUMU JF, hutupimwi chochote..!!!
Uko sahihi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo inaitwa cooker control unit.. Ipo specific kwa majiko ya umeme. Ipo hivi
1. Jiko huungwa ndani kwa ndani kupitia conduit moja kwa moja kwenda kwenye jiko. unapowasha hicho kilichoandikwa cooker ON ndo unawasha jiko peke yake, then kama ni la plate moja au nne au zozote, utawasha plate husika kwenye jiko
2. Hiyo socket kwa pembeni, inatumika kama socket nyingine za nyumbani kwako. wakati unatumia jiko, hapo kwenye socket unaweza weka birika la umeme au jagi la kuchemsha maji...
3. Waya unaoleta umeme kwenye cooker control unit, pale inapoungwa, inapeleka umeme kwenye jiko na kwenye socket ya hapo pembeni. Kila moja inajitegemea kwenye kuwasha na kuzima
4. Size ya waya inayopeleka umeme hapo kwenye cooker control unit huwa ni kubwa (4 square millimeter) kuliko ya socket nyingine za ndani kwako (2.5 square millimeter)

Majibu yasiyokusaidia yavumilie tu kiongozi… KWENYE KUJIANDIKISHA HUMU JF, hutupimwi chochote ili kuamua uandikishwe au la..!!!
Mkuu nakushukuru sana kwa kudadavua. Haya mambo hatukuzaliwa tukiwa tunajua. Mimi ni mtundu kwenye vitu vya umeme lkn napenda umakini maana kosa moja goli moja.

Mkuu Jiko langu limekuja bila power cable, power rating yake ni 4,300Watts. Je ninunue cable ya mm ngapi na je plug yake nayo iwe ni ya Amps ngapi? Shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakushukuru sana kwa kudadavua. Haya mambo hatukuzaliwa tukiwa tunajua. Mimi ni mtundu kwenye vitu vya umeme lkn napenda umakini maana kosa moja goli moja.

Mkuu Jiko langu limekuja bila power cable, power rating yake ni 4,300Watts. Je ninunue cable ya mm ngapi na je plug yake nayo iwe ni ya Amps ngapi? Shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua flecsible wire 4mm, usinunue plug usinunue ukisha unganisha kwenye jiko wire uende mojakwa1 adi kwenye cooker, Cooker ina inlet na outlet so wewe utaunganisha kwenye out let.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo inaitwa cooker control unit.. Ipo specific kwa majiko ya umeme. Ipo hivi
1. Jiko huungwa ndani kwa ndani kupitia conduit moja kwa moja kwenda kwenye jiko. unapowasha hicho kilichoandikwa cooker ON ndo unawasha jiko peke yake, then kama ni la plate moja au nne au zozote, utawasha plate husika kwenye jiko
2. Hiyo socket kwa pembeni, inatumika kama socket nyingine za nyumbani kwako. wakati unatumia jiko, hapo kwenye socket unaweza weka birika la umeme au jagi la kuchemsha maji...
3. Waya unaoleta umeme kwenye cooker control unit, pale inapoungwa, inapeleka umeme kwenye jiko na kwenye socket ya hapo pembeni. Kila moja inajitegemea kwenye kuwasha na kuzima
4. Size ya waya inayopeleka umeme hapo kwenye cooker control unit huwa ni kubwa (4 square millimeter) kuliko ya socket nyingine za ndani kwako (2.5 square millimeter)

Majibu yasiyokusaidia yavumilie tu kiongozi… KWENYE KUJIANDIKISHA HUMU JF, hutupimwi chochote ili kuamua uandikishwe au la..!!!
Uko sahihi mkuu.... Ila kwenye cooker unit mara nyingi hua wanatumia 6 mm sqr. kama sikosei.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakushukuru sana kwa kudadavua. Haya mambo hatukuzaliwa tukiwa tunajua. Mimi ni mtundu kwenye vitu vya umeme lkn napenda umakini maana kosa moja goli moja.

Mkuu Jiko langu limekuja bila power cable, power rating yake ni 4,300Watts. Je ninunue cable ya mm ngapi na je plug yake nayo iwe ni ya Amps ngapi? Shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiko lako ni la plate moja kwa hiyo 4,300W? I doubt
1. Kwa 4,300W, ukigawa kwa single phase voltage (assume maximum PF = 1) unapata 19.55 Amperes , almost 20A.
2. Wire wa kuweza kubeba 20A ni bila matatizo ni angalu 4 square millimeter. Cha kuangalia ni ware ulioleta umeme hapo kwenye cooker control unit nao ni wa 4? Je! circuit breaker inayoilisha umeme hiyo cooker control unit ni ya 25A au 32A? Je! hiyo breaker inalisha cooker control unit pekee? HAKIKISHA WAYA NI WA EURO CABLE
3. Jiko liungwe moja kwa moja kwenye cooker control unit, usiweke plug. Maana yake usitumie hiyo socket kuwa jiko lako la 20A.
 
S
Jiko lako ni la plate moja kwa hiyo 4,300W? I doubt
1. Kwa 4,300W, ukigawa kwa single phase voltage (assume maximum PF = 1) unapata 19.55 Amperes , almost 20A.
2. Wire wa kuweza kubeba 20A ni bila matatizo ni angalu 4 square millimeter. Cha kuangalia ni ware ulioleta umeme hapo kwenye cooker control unit nao ni wa 4? Je! circuit breaker inayoilisha umeme hiyo cooker control unit ni ya 25A au 32A? Je! hiyo breaker inalisha cooker control unit pekee? HAKIKISHA WAYA NI WA EURO CABLE
3. Jiko liungwe moja kwa moja kwenye cooker control unit, usiweke plug. Maana yake usitumie hiyo socket kuwa jiko lako la 20A.
safi
 
Jiko lako ni la plate moja kwa hiyo 4,300W? I doubt
1. Kwa 4,300W, ukigawa kwa single phase voltage (assume maximum PF = 1) unapata 19.55 Amperes , almost 20A.
2. Wire wa kuweza kubeba 20A ni bila matatizo ni angalu 4 square millimeter. Cha kuangalia ni ware ulioleta umeme hapo kwenye cooker control unit nao ni wa 4? Je! circuit breaker inayoilisha umeme hiyo cooker control unit ni ya 25A au 32A? Je! hiyo breaker inalisha cooker control unit pekee? HAKIKISHA WAYA NI WA EURO CABLE
3. Jiko liungwe moja kwa moja kwenye cooker control unit, usiweke plug. Maana yake usitumie hiyo socket kuwa jiko lako la 20A.
Kaka Jiko ni la plate 2 pia lina oven. Picha hii hapa kaka. Pia ninao waya huu hapa, je utafaa?? Tazama picha hapa chini
1546679159050.jpeg
1546679223535.jpeg
1546679267171.jpeg
1546679285527.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo unafaa mkuu angalia km jiko ni 3phase ufanyie looping kwenye jiko

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hana sababu ya kufanya looping kwenye jiko… kwa vile jiko ni ONE unit, lipo looped ndani tayari, hivyo kutakuwa na sehemu moja tu ya kuunga waya zake .. By moja I mean sehemu ya LIVE-L (RED WIRE), NEUTRAL - N (BLACK WIRE) AND EARTH - E (BARE WIRE)

Kikubwa anachotakiwa kuwa makini nacho ni kwamba aunge red palipoandikwa L au opposite na ulipo mwekundu ALIOKUTA HAPO na zikingine hivyo hivyo
 
Nadhani hana sababu ya kufanya looping kwenye jiko… kwa vile jiko ni ONE unit, lipo looped ndani tayari, hivyo kutakuwa na sehemu moja tu ya kuunga waya zake .. By moja I mean sehemu ya LIVE-L (RED WIRE), NEUTRAL - N (BLACK WIRE) AND EARTH - E (BARE WIRE)

Kikubwa anachotakiwa kuwa makini nacho ni kwamba aunge red palipoandikwa L au opposite na ulipo mwekundu ALIOKUTA HAPO na zikingine hivyo hivyo
Kweli hili ni jukwaa la habari mchanganyiko.
 
Tatizo langu limetatuliwa na mkuu ngalikihinja na Young giz. Nawashukuru wote kwa michango yenu. Nimeweza kuunga jiko kupitia maelekezo ya humu na sasa linafanya kazi vizuri sana. Utundu wangu kwenye maswala ya umeme ukijumlisha na physics, vimechangia sana kuelewa nilichokuwa naelekezwa na kuulizwa hapa. Dont try it kama huna maarifa hata ya ABC kwenye masuala ya umeme. Jf idumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo unafaa mkuu angalia km jiko ni 3phase ufanyie looping kwenye jiko

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nashukuru sana. Kupitia ufafanuzi wako na wa mkuu ngalikihinja , nimeweza kuunga jiko kwa usahihi na kwa kutumia waya sahihi na sasa linafanya kazi vizuri sana mkuu. Mbarikiwe sana wakuu kwa kutokuwa wachoyo wa maarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom