<br />duuuuuuuuuuuu mi nilifanya interview yao ya mwanza,sina hamu watu kibaooooooooooooo kibaya zaidi walisema wengne tumewkwa reserve march 2013 tutaenda kahama kwenye branch yao,cha ajabu kimya mpka leo na kazi ndo kama hivyo wametangaza upya
guyz ni hv interview ya kwanza ni mtihan wa hesabu ambao unuliza maswal ya logic tu sio magumu,thn group interview na nyngne ni kuingia mtaan kutambulisha benk thn oral msiogope mshrikishen Mungu tu coz watu ni weng sana,n mjitahd kusoma job description zenu...best of lucky kwa wote mliochaguliwa
Kama sijakosea anaweza akawa ni loan officer cz ndo nafasi nyingi zinazotoka hapo...Sasa vijana, wengine wageni kidogo humu, me kuna jamaangu kaniuliza hiyo field officer nini majukumu yake ni yapi, nimeshindwa msaidia, nimeleta mezani, hebu nisaidieni wadau.
Habari wan JF,kunajamangu kaitwa interview ya accessbank post ya field office,je ni maswali gani yatakayoweza kuwepo katika interview hiyo please mwaga dondoo japo nimueleze ili awe na ideal,thanx nawasilisha!