Msaada:Mashine yakuchapisha nembo kwenye viroba

Msaada:Mashine yakuchapisha nembo kwenye viroba

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,340
Reaction score
3,394
Wakuu kama kichwa cha habari kinanavyosema naomba kusaidiwa wapi zinauzwa na bei ya mashine zinazochapisha nembo kwenye viroba mfano kama viroba vya ngano ya AZAM ama viroba vinavyowekewa unga wa mahindi.

Natanguliza shukrani.
 
kwa dar wenenda kwa bhakressa anakutengenezea mimi nilikuwa nachukua kwake viroba vya ufuta.
 
kwa dar wenenda kwa bhakressa anakutengenezea mimi nilikuwa nachukua kwake viroba vya ufuta.
Gharama zake zikoje mkuu na anatoa kuanzia pakiti ngapi?kiwanda kipo sehemu hapa dar?
 
kwa dar wenenda kwa bhakressa anakutengenezea mimi nilikuwa nachukua kwake viroba vya ufuta.
Inawezekana hujanielewa,nahitaji mashine yakuchapishia,sio kuchapishiwa.
 
Mashine ya kuvitengeneza tayari unayo?? Ya kaprint unaweza kuipata China
 
Back
Top Bottom