Msaada:Masasi clinical medicine training college Mtwara

Msaada:Masasi clinical medicine training college Mtwara

big IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
491
Reaction score
893
Kwa anayekifahamu hiki chuo,kipo umbali gani toka mjini,mazingira yake kwa ujumla,mdogo wangu kachaguliwa huko
 
Kwa anayekifahamu hiki chuo,kipo umbali gani toka mjini,mazingira yake kwa ujumla,mdogo wangu kachaguliwa huko

chuo kipo mjini Masasi ni kama km moja tokea stendi kuu ya Masasi ni chuo cha serikali ni kizuri sana
 
chuo kipo mjini Masasi ni kama km moja tokea stendi kuu ya Masasi ni chuo cha serikali ni kizuri sana

asante hivi wanatoa na dip hapo au ni certificate tu..
 
Hivi kuna chuo chochote kinachotoa kozi ya clinical officer kwa mwaka 1 kwa wale waliomaliza clinical assistant au vyote ni miaka mitatu
 
Bonge ya chuo kipo hospitali ya mkomaindo ndani ya Masasi city.kama MDOGO ni wa kike Nipe contact zake and I'll b checking on her sababu mi napack Bajaj langu nje ya gate ya hospitali
 
Mpe ushauri kabla hajaenda mwisho ukasomesha marehemu mtarajiwa.Muileke poa.
 
Bonge ya chuo kipo hospitali ya mkomaindo ndani ya Masasi city.kama MDOGO ni wa kike Nipe contact zake and I'll b checking on her sababu mi napack Bajaj langu nje ya gate ya hospitali

Kama mdogo wake akiwa wakiume je?!sichelei kuamini kiongozi wewe sio mtu mzuri!inaonekana mzoefu mno wa kufumua rinda za wamakua!
 
Bonge ya chuo kipo hospitali ya mkomaindo ndani ya Masasi city.kama MDOGO ni wa kike Nipe contact zake and I'll b checking on her sababu mi napack Bajaj langu nje ya gate ya hospitali

hii thread ni ya mwaka 2013 utampataje wakati atakuwa ameshamaliza chuo
 
samahani naomba mnielekeze kufanya application 0742834132
 
Back
Top Bottom