tropa92
Senior Member
- Jan 25, 2017
- 156
- 217
Wadau kama mada ilivo hapo juu,nikiingia nacte katika application online nakutana na category moja tu ya HEALTH AND ALLIED SCIENCE sasa vipi kwa zile kozi zingine tofauti na hio naweza apply vipi??
Nilihitaji ku apply Kilimo ila ndo haipo katika available categories
Wale wasiokuwa na sifa za ku apply afya wao wana apply vip koz zao maana kupitia nacte hakuna pa kutokea ,tusaidiane kwa wanaojua
Nilihitaji ku apply Kilimo ila ndo haipo katika available categories
Wale wasiokuwa na sifa za ku apply afya wao wana apply vip koz zao maana kupitia nacte hakuna pa kutokea ,tusaidiane kwa wanaojua