Huwezi kusema "Ameniibia fedha zangu" kiambishi "ni" katika "ameNIibia kimeshaua ulazima wa kuongeza neno "zangu" hivyo sentensi hiyo ina makosa katka ujenzi wa tungo yenyewe. Ungepaswa kusema;
I.Ameiba fedha zangu AU
2.Ameniibia fedha.
Katika sentensi 1, neno AMEIBA halina kiambishi cha urejeshi ndiyo sababu lipo neno ZANGU.
Katika sentensi 2 hakuna neno zangu kwa sababu ipo mofimu ya urejeshi "i".
ADA YA MASOMO LIPA KWA M-PESA