samamba oscar
Member
- May 16, 2017
- 20
- 4
1)Kwa Kumuangalia Kwa macho dalili gani unaeza mtambua mwanamke mweupe asiye na upele mahala anaeishi na v.v.u.? 2)kupatwa mafua 1week baada ya maambukiz ya vvu ni 89% Kwa kila MTU je, mafua yake yanatofauti gani naya allergy au mafua ya kawaida? 3)After2week tu unaeza pata dalili Kama vidonda koo, maumivu ya mifupa na misuli,kukauka lips/mdomo,Mwili Kutetemeka,mafua yanayoenda 3week,kukonda? 4)vituo vidogo vyaafya vinatoa huduma ya vipimo vya (PCR)au ELISA nani bei gani? ASANTENI