Msaada maji shingoni

aiseee WANAUME KAMA WEWE MNAITAJI MAGAZINE AU AK47

NAMUONEA HURUMA HUYO BINTI MAANA NADHANI ALIYAONA MENGI YASIYOENDANA ILA alii ignore
 
Kabisaaaa aoe huyo huyo watakaje tena? ndomana m sipend wangu akae mbali nami mambo haya haya vumiliki

Mtu akiamua kuchepuka anachepuka tu, hata uwe unazunguka nae siku nzima.
 
Usikatae mtoto rafiki utajitengenezea laana ya baadae, chakufanya mwambie ukweli mchumba wako usikie atasema nini
 
oa tu huyo wa kitambo haikua yake ungekuwa unampenda kweli usingemchit mwambie ukweli usiendelee kumpotezea muda
 
shit on you!!! damu yako ukaitoe?mwendawazimu wewe na hujielewi kabisa,tutakufungulia kesi ya kupanga kuua kwa kukusudia!!! die in hell
 
Lakini yy kasha sema sababi wake yupo mbali ndo mana kachukua kabinti na kuhusu upo nae ana chepuke huyo hayupo serious na anachokifanya
Mtu akiamua kuchepuka anachepuka tu, hata uwe unazunguka nae siku nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…