Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,413
- 175,095
Wasiwasi ndo akili. We ujipeleke viwanja vya ushuani na 50K kweli tena upo na demu si kutafuta balaa tu hapo.
Hivi mtu ukisema una budget ya 50K maana yake ni kwamba unakuwa na 50K net au unakuwa na zaid ya hiyo ila umepanga kutumia 50K tu?
Binafsi, siwezi kutoka na mwanamke jijini Dsm nikiwa na 50K tu mfukoni. Ni hatari sana. Hatari mno. Sema tu ni vile tunatofautiana.
Mwenye masikio na asikie